Sopa mazee.
Ipo hivi, mwanaume wakati anachagua mwanamke wa kumweka ndani kuna vitu huwa anathaminisha. Kuna baadhi ya wanaume huthaminisha ukubwa wa makalio, wengine umbo la miguu, wengine uwima wa matiti, na nakadhalika.
Hali ipo hivyo hivyo kwa vijana wa kimasaai japo wao hawathaminishi...