Hello wana Jf habari za wakati huu sikuyajana nimejaribu kupitia katika app ya alibaba na nikaanza kujaribu kuagiza kamzogo lakini changamoto niliyokutana nayo ilikuwa ni estimated shipping fee kuwa juu sana ilifikia 6000000 na item subtotal ikiwa ni 200000 kwa pieces 50 @4000/piece
Naomba...
Habari zenu wana JF,
Katika kufuatilia nyuzi kadhaa kuhusu shipping agents kwa meli kutoka China kuja Tanzania, Nimekutana na Silent Ocean, Shamwaa na Mapembelo Cargo.
Which one should i go for?
- Wapo wanaosema silent ocean wako vizuri na wako fasta, wapo wanaosema Silent ocean ni...
Msaada kwa wenye uzoefu wa kuagiza mizigo China kwa kutumia ndege...ni agent gani mzuri ambaye anapokea mizigo kutoka kwa suplier na kuufukisha Tanzania kwa uaminifu na chargers zake per kg zikoje
Msaada tafadhari
Tesla's new electric truck is finally here, with PepsiCo being the first customer to receive some of the 100 vehicles it pre-ordered.
First announced by Elon Musk in 2017, the Tesla Semi has been one of the longest-delayed products in the company's history.
Habari ya jioni wakuu. Ninaulizia ofisi tajwa hapo juu kama kuna ambaye ana taarifa zao ama alishawahi kuwatumia.
Wanadai kuwa guwa wanafanya usafirishaji wa vifurushi kayi ya Dubai na Dar es salaam. Nafaka kujua kama kuna anayejua mahali ofisi zao zilipo hapa Dar. Naomba kama kuna taarifa...
REGISTRAR - 1 POST
EMPLOYER Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-01 2022-06-10
JOB SUMMARY
To manage and ensure safety and quality of seafarers, wrecks and ships along with responsibility for Tanzania Ship Registrar and marine environment...
Kwa mwendo huu tu...
======
A shipping line from the Democratic Republic of Congo plans to start its operations from Mombasa beginning June this year.
The state-owned shipping line, the Lignes Maritimes Congolaises (LMC) seeks to channel more DRC imports and exports cargo through the Port of...
Nimekuja tena kwenu wana jamvi naomba msaada wa kujua zipi ni faida za kusafirisha mzigo kama full container au Loose cargo kutoka China au Nchi za Wenzetu.
Moja kuhusu gharama za usafirishaji. Pili kuhusu mambo ya bandarini mzigo ukifika.
Nakukaribisha kwa mjadala.
CC Top leader
Habari wadau!
Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni akuponye na kukupatia wepesi kwa yale unayopitia.
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana, na kila siku mambo...
Looking for how to cheaply ship a phone from USA to Kenya (2019)?
When was the last time you checked with the local post office, UPS, Fedex or DHL how much it would cost to ship a phone to Kenya from USA?
For those who rely on using friends and relatives to deliver small items such as phones to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.