shirika la posta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Shirika la Posta ladaiwa TSh. Bilioni 54.7, lashindwa kujiendeleza na kukopesheka

    Mbunge wa Jimbo la Mbagala, Abdallah Chaurembo amesema Shirika la Posta kwasasa linadaiwa TSh. Bilioni 54.7 hivyo kushindwa kujiendeleza na pia shirika limeshindwa kukopesheka, tuimbe sana serikali kama ripoti yetu ilivyoeleza tunaomba serikali ilichukue deni hili ili shirika hili la posta sasa...
  2. Guus

    Shirika la Posta ni taasisi inayojipeleka kaburini

    Historia ya Shirika la Posta Tanzania Huduma za Posta kama taasisi zilianzishwa nchini na Serikali ya kikoloni ya Ujerumani. Huduma ya kwanza ya barua iliyobandikwa stempu ilianzishwa hapa nchini mwaka 1893. Mara baada ya Uhuru wa Tanganyika tarehe 9 Desemba 1961, huduma za Posta ziliendelea...
  3. Suley2019

    Waziri Jerry Silaa ateua Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania na Wajumbe wa Bodi hiyo

    TAARIFA KWA UMMA Kwa mujibu wa Kifungu cha 5(1) kikisomwa pamoja na jedwali la Sheria ya Shirika la Posta ya Mwaka 1993 Kipengele cha 1(1)(b) pamoja na Tamko la Waziri Na. 845 lililochapishwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe 15 Novemba, 2019 vinampa Mamlaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na...
  4. Uhakika Bro

    Barua ya Wazi kwa Bw. Macrice Daniel Mbodo Head PostMaster mteuliwa

    Kwanza, tafadhali isome barua hii kwa niaba ya watanzania wote wanaotumaini katika ukuaji wa sekta ya posta nchini. Tarehe: 2Sept2024 Kwa: Bw. Macrice Daniel Mbodo Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania (TPC) Mada: Pongezi na Ushauri kwa Nafasi ya Ukuu wa Posta Tanzania Ndugu Bw. Mbodo...
  5. Azniv Protingas

    Shirika la Posta linatumia kigezo gani kutoza pesa?

    Nilipokea SMS kuwa nifike posta nikachukue mzigo wangu na pia kuna malipo ya 3000/-. Mzigo wenyewe hata gram 10 haufiki na hiyo 3000 inakaribia nusu ya gharama ya kununulia bidhaa, pamoja na usafiri mpaka kufika Tanzania. Mimi nilitegemea mzigo wangu utakuja kwa speedaf kwa sababu nilichagua...
  6. Crocodiletooth

    Shirika la Posta, linaweza kuja kuwa shirika tajiri endapo litajigeuza na kuwa kama Alibaba

    Umefika wakati sasa, shughuli zote za uagizaji wa vifurushi na mizigo zikafanywa na shirika letu la Posta, pekee, pamoja na makampuni ambayo yatakuwa yamesajiliwa rasmi nchini Tanzania katika kusaidiana na shirika hilo kwa vibali maalumu, - Umuhimu wa suala hili ni kwamba serekali yetu tukufu...
  7. Mr Why

    Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, na Posta. Wananchi tunasubiri TTCL na BRT

    Hatimaye Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, POSTA, Wananchi tunasubiri TTCL na BRT. Hongera sana Serikali ya Tanzania kwa kufanikiwa kurejesha heshima ya nchi iliyokuwa imepotea kwa muda mrefu mmejitahidi sana. Miakaka ya nyuma hatukuwa na...
  8. Mookiesbad98

    Kuna shida gani shirika la Posta?

    Ni muda sasa Posta Kawe ni kama haifunguliwi kabisa shida ni nini. MD Ndg Mabeans Chande tafadhali shughulikia hili au toa tamko. Posta ni kiuongo muhimu sana katika ulimwengu wa biashara na kampuni barua muhimu, alerts n.k zinatumwa kupitia sanduku la posta. Au mharakishe yale mambo ya...
  9. S

    Vifurushi vyetu vinapotea shirika la posta

    Kuna mazingira ambayo hayaeleweki katika shirika la Posta hapa Dar es salaam.Kutokana na maendeleo yaliyopo sasa hivi ya kiteknolojia, Kuna bidhaa ambazo tunanunua kwa njia ya mitandao kutoka sehemu mbalimbali duniani. Baada ya kukamolisha taratibu zote za kimalipo,bidhaa inatumwa huko...
  10. and 300

    Mheshimiwa Chande Maharage karibu Shirika la Posta

    Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu hapa Shirikani. Digitali kizazi sana! Tupo tayari
  11. BARD AI

    Maafisa wa Posta Tanzania wakutwa na kesi ya kujibu kuhusu kusafirisha Dawa za Kulevya

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewakuta na kesi ya kujibu, maofisa watatu wa ulinzi wa Shirika la Posta Tanzania, wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine na bangi. Maofisa hao ni George Mwamgabe, Sima Ngaiza na dereva wa Shirika hilo Abdulrahman Msimu. Washtakiwa...
  12. Mchapakazihalisi

    Matumizi ya TEHAMA yawe Kipaumbele cha Utendaji ndani ya Shirika la Posta

    ♦️ Akabidhi Vyeti na Tuzo za Pongezi kwa wafanyakazi wa Shirika la Posta walioshiriki kufanikisha Tanzania kupata nafasi ya Ujumbe kwenye Mabaraza ya Umoja wa Posta Duniani (CA &POC). Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Mapinduzi...
  13. Mparee2

    Tunaweza kufufua shirika la Posta, kodi zilizopo sio rafiki pia sio rahisi kwa mteja kuzielewa

    Pamoja na kazi nzuri ya Serikali ya kuboresha uchumi na miundombinu, Nafikiri ipo haja sasa ya kuja na mpango mkakati wa kufufua shirika letu la posta kwani lina uwekezaji mkubwa wa miundo mbinu karibu Nchi nzima wa Mabilioni iliyojengwa kwa kodi za wananchi Kwanini tusije na mpango mkakati na...
  14. peno hasegawa

    Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

    Tangu awamu ya 6 imeanza Waarabu wanaitafuta Tanganyika kwa kila hali.
  15. mkadiriaji majenzi

    Huduma za Shirika la Posta Tanzania

    Habarini wana JF, Niende kwenye mada moja kwa moja. Juzi Ijumaa nilikuwa nataka kutuma Doc moja Mkoani ila kwa kuwa na confidential sana nikaona nisitume kwa basi kama ninavofanyaga mara nyingi. Nikaenda Posta lengo nitume kwa EMS na inahitajika J3. Cha kushangaza nikaambiwa itatumwa J3...
  16. mama D

    Uongozi Shirika la Posta na TTCL mkiweka kando utendaji wa kimazoea Mtatoa huduma bora zaidi badala ya kero kwa maslahi ya Nchi yetu

    Wakurugenzi wa haya mashirika mawili mnajidhalilisha sana na kudhalilisha nafasi mlizopewa pamoja na taaluma. Yaani mashirika yanafanya kazi kwa style ya kizamani mnoooooo. Kuna wakati inabidi mjikagaue msome alama za nyakati, anagalieni basi japo wengine wa nchi nyingine wanaofanya mnayofanya...
  17. Best Vibez Store

    Kero za Shirika la Posta

    Habari za Asubuhi Yaani sijui Posta huwa wanakwama wapi nimeagiza mzigo toka Ali Express umefika Dar tarehe 25 ukaondoka Dar siku hiyo hiyo ukafika Arusha tarehe 26 ila mpaka leo Jumatatu hakuna msg nimeenda hapo kwao wanasema bado hawajapewa tatizo liko wapi mbona dar siku hiyo wanatoa mizigo...
  18. Shujaa Mwendazake

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua Vituo vya Huduma Pamoja vya Shirika la Posta

    Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa anazindua Vituo vya Huduma Pamoja vya Shirika la Posta, Jijini Dar es Salaam. Vidokezo: 1. Tutaanza na vituo 10 nchi nzima. Tumeanza na Dsm na Dodoma. 2. Vitapunguza muda wa kupata huduma kutoka wiki 4 hadi siku 3. --- MAJALIWA AZITAKA TAASISI ZA...
  19. B

    'Huduma Pamoja' kupitia Shirika la Posta inalenga nini?

    "Tumefanya mageuzi makubwa ndani ya Shirika la @posta_tz. Lengo ni kuwa na Posta ya Kidijitali, Posta kuwa kitovu cha biashara mtandao na huduma za Pamoja. Katika kutekeleza azma hii, Siku ya Jumatatu tarehe 6 Spetemba, tutazindua utaratibu wa Huduma Pamoja". Mhe. Faustine Ndugulile Nimeona...
  20. J

    Shirika la Posta linazindua huduma ya Pamoja (One Stop Center)

    📍 Taarifa📍 Katibu Mkuu wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari @wizaraMTH Dkt. Zainab Chaula anawakaribisha kwenye uzinduzi wa vituo vya HUDUMA PAMOJA(ONE STOP CENTER) Utakaofanyika jijini Dar es salaam tarehe 06/09/2021 saa 5:30 Asubuhi kwenye viwanja vya @posta_tz
Back
Top Bottom