Ni muda sasa Posta Kawe ni kama haifunguliwi kabisa shida ni nini. MD Ndg Mabeans Chande tafadhali shughulikia hili au toa tamko.
Posta ni kiuongo muhimu sana katika ulimwengu wa biashara na kampuni barua muhimu, alerts n.k zinatumwa kupitia sanduku la posta.
Au mharakishe yale mambo ya...