Naona kuna habari za EAC kuwa na sarafu moja. Kwa mipango ya EAC leo hii tayari tulitakiwa kuwa na sarafu moja. Lakini kiukweli ni ngumu sana kuwa na sarafu moja bila ya kuwa na shirikisho la kisiasa. Jambo hilo limewatesa na linazidi kuwatesa Umoja wa Ulaya.
Nchi huwa zinashindana kibiashara...
Hapa ni marais wanaongoza nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na nani kinara kama tukihitaji mmoja awe Rais wa shirikisho letu
Wiliam Samoi Ruto, Kenya
Yoweri Kaguta Museveni, Uganda
Samia Suluhu Hassan, Tanzania
Poul Kagame, Rwanda
Salva Kiir, Sudan Kusini
Felix Murombo
USSR
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.