shirikisho la mpira tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TFF kuilipa kampuni ya Romario Sports 2010 Limited Tsh. Milioni 843 za Deni na Fidia

    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefikia makubaliano nje ya mahakama katika shauri la madai lililokuwa limefunguliwa na kampuni ya Romario Sports 2010 Limited, kwa kuilipa kampuni hiyo deni pamoja na fidia. Kulingana na hukumu ya makubaliano (consent judgement) iliyotolewa na Jaji Isaya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…