A shobo is a weapon, similar to the Emeici of China, which was used by the ninja of Japan for striking pressure points on an opponent. It was a piece of wood that was gripped by the wielder and was hung by a ring worn on the middle finger. Some versions were rings with a wooden peg attached on top. The ends were exposed and were usually sharp, which made them effective for paralyzing and even killing enemies quickly and without leaving a trace. They were easily hidden in the fists and were very lightweight and portable. They were usually worn in pairs. Many ninjas constructed their own shobo, although some were given from master to student.
Due to the secretive nature of the ninja, there is no way of knowing exactly when and where the shobo was invented (meaning no more precise than feudal Japan) and exactly how popular it was among the ninja. It is believed this was an improvised weapon, with common origins cited as bridle bits for horses and livestock, harness rings for reins, and metal hinges for gates and doors. How the weapon was formalized is still up for debate.
Kuna kitu huwa kinanistaajabisha kidogo hapa bongoland hasa kuhusu jamii ya watu wanaotuzunguka.
Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii inaanza kukuona kama mtu unaeringa na kujisikia.hivi kwani ni lazima watanzania wote tufuatilie...
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo...
Ukija na drama zako kulalaleki sisi tuna tunakutizama kisha tuna gonga ile kitu yetu. Tunakupotezea
Halafu hao machalii wanaotoka huko dasa laama ndio wanakuja kutuharibia mkoa wetu, maana wana tamaa kinyama, na hawapendi kazi ngumu ngumu ndio maana wanaishia kupoteza marinda yao kizembe...
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama...
Habari zenu Wakuu,
Kama kuna malumbano (reply) umeiona na haujui malumbano yalipoanzia basi ni vyema ukakaa kimya na kupotezea.
Hapa JF kuna watu wanaingilia maongezi yasiowahusu na mwisho wa siku wanabeba maugomvi yasiokuwa yao.
ACHA SHOBO MKUU WANGU.
PEACE
Peace be upon you all.
Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.
Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika...
Bosses salute! Kumekuwa na katabia ka kishenzi mno kutoka kwa WaTZ wengi, eti wanaungana na wale Negros wa US kupiga vita na kukemea ubaguzi wa rangi. Kweli miTZ mingi ni mijinga mno.
Sawa ulibaguliwa ulipokwenda US su UK kusoma masters, so what? Kwani lazima Wazungu waku admire? Watu...
Ama kweli kimeumana!
Video nimekuwekea hapo chini na kilichonistaajabisha mwishoni mwa video shuhudia mwenyewe burungutu la minoti akiwahonga waandishi wa habari eti ya nauli.
Brother ifunze ku balance shobo basi yaani haihitaji hata mwanasaikolojia akiangalia hiii video kujua kwamba una chuki kwa simba iliyopitiliza, Magori anaongea vitu vya maaaa unajifanya uko bize na simu mara pc huku ukimeza fundo za mate zenye mchanganyiko wa hasira na wivu, pumbavu
Hata...
Unajirusha mitandaoni maisha bora, kubadilisha magari makali, unaishi apartment kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki, mke elimu Hana Zaid ya kuuza sura. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya makamera!
***Msibani watu wanalia kwa mengi (aibu/fedheha mixer huzuni).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.