shobo

  1. kyagata

    Hivi kwa nini kibongobongo ukiwa huna shobo na mtu wala kufuatilia mambo ya kijinga unaonekana unaringa na kujisikia?

    Kuna kitu huwa kinanistaajabisha kidogo hapa bongoland hasa kuhusu jamii ya watu wanaotuzunguka. Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii inaanza kukuona kama mtu unaeringa na kujisikia.hivi kwani ni lazima watanzania wote tufuatilie...
  2. Expensive life

    Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

    Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua. Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini. Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo...
  3. Expensive life

    Machalii wa chuga hatunaga shobo za kishamba

    Ukija na drama zako kulalaleki sisi tuna tunakutizama kisha tuna gonga ile kitu yetu. Tunakupotezea Halafu hao machalii wanaotoka huko dasa laama ndio wanakuja kutuharibia mkoa wetu, maana wana tamaa kinyama, na hawapendi kazi ngumu ngumu ndio maana wanaishia kupoteza marinda yao kizembe...
  4. sanalii

    Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

    Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula. Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda. Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama...
  5. Mjanja M1

    Usiingilie malumbano ya watu kama hujui chanzo, utabeba ugomvi usiokuhusu

    Habari zenu Wakuu, Kama kuna malumbano (reply) umeiona na haujui malumbano yalipoanzia basi ni vyema ukakaa kimya na kupotezea. Hapa JF kuna watu wanaingilia maongezi yasiowahusu na mwisho wa siku wanabeba maugomvi yasiokuwa yao. ACHA SHOBO MKUU WANGU. PEACE
  6. The unpaid Seller

    Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

    Peace be upon you all. Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje. Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika...
  7. Ibrahimeliza

    Unataka kupendwa?

    Kama kweli unataka kupendwa na kuheshimiwa na watu fanya haya. 1) Jua thamani yako. Kujitambua 2) Jifunze kuzuia hisia zako. Husivauke, maamuzi sahihi yanapatikana kwakutokuwa na hasira wala shahuku/furaha 3) Husishobokee vitu vya watu. Iwe mke, gari, nyumba chochote kile acha shobo. 4) Jua...
  8. M

    Wabongo wengi wana shobo sana

    Bosses salute! Kumekuwa na katabia ka kishenzi mno kutoka kwa WaTZ wengi, eti wanaungana na wale Negros wa US kupiga vita na kukemea ubaguzi wa rangi. Kweli miTZ mingi ni mijinga mno. Sawa ulibaguliwa ulipokwenda US su UK kusoma masters, so what? Kwani lazima Wazungu waku admire? Watu...
  9. Numero Uno

    Haji Manara umefuta post na comment screenshot zipo

    Kujipendekeza kote lakini wapi? Umefuta post na comment screenshot zipo
  10. Suzy Elias

    Peter Serukamba: Spika aache shobo

    Ama kweli kimeumana! Video nimekuwekea hapo chini na kilichonistaajabisha mwishoni mwa video shuhudia mwenyewe burungutu la minoti akiwahonga waandishi wa habari eti ya nauli.
  11. N

    Video: Huyu ni mtangazaji mwenye chuki kali kwa Simba. Simba punguzeni shobo kwa Efm

    Brother ifunze ku balance shobo basi yaani haihitaji hata mwanasaikolojia akiangalia hiii video kujua kwamba una chuki kwa simba iliyopitiliza, Magori anaongea vitu vya maaaa unajifanya uko bize na simu mara pc huku ukimeza fundo za mate zenye mchanganyiko wa hasira na wivu, pumbavu Hata...
  12. and 300

    Uwe maarufu au la, usijifanye una hela wakati huna! Utakuja umbuka msibani

    Unajirusha mitandaoni maisha bora, kubadilisha magari makali, unaishi apartment kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki, mke elimu Hana Zaid ya kuuza sura. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya makamera! ***Msibani watu wanalia kwa mengi (aibu/fedheha mixer huzuni).
Back
Top Bottom