Kama kweli unataka kupendwa na kuheshimiwa na watu fanya haya.
1) Jua thamani yako.
Kujitambua
2) Jifunze kuzuia hisia zako.
Husivauke, maamuzi sahihi yanapatikana kwakutokuwa na hasira wala shahuku/furaha
3) Husishobokee vitu vya watu.
Iwe mke, gari, nyumba chochote kile acha shobo.
4) Jua...