shortstory

  1. Ramsy Dalai Lama

    Short Story: Matabaka

    Siku moja, Mungu alinyang'anya kila mtu mali yake. Watu wote waliachwa bila chakula na walikuwa na njaa siku nzima. Siku ya pili yake jioni, Mungu alimpa kila mtu kuku. Kundi la kwanza lilifurahi sana kupewa kuku hao na hawakufikiria chochote zaidi yakuchinja na kula kuku wao. walikula na...
  2. Ramsy Dalai Lama

    Short story: Hamu + Desire

    Nakumbuka nikiwa mdogo jinsi nilivyotamani kuishi kwenye nyumba ya kifahari kama ambazo walikua wakiishi rafiki zangu ambao walikua watoto wa matajiri na wengi walikua waarabu..Baba zao walikua wenye company za ASAS, F.M Abri, Estate Co, OilCom, Temeke Bakery na wengineo ikiwemo na baadhi ya...
Back
Top Bottom