Shuka (Sanskrit: शुक IAST: Śuka, also Shukadeva Śuka-deva) is a rishi (sage) in Hinduism. He is the son of the sage Vyasa and the main narrator of the scripture Bhagavata Purana. Most of the Bhagavata Purana consists of Shuka reciting the story to the king Parikshit in his final days. Shuka is depicted as a sannyasi, renouncing the world in pursuit of moksha (liberation), which most narratives assert that he achieved.
KAGERA SUGAR KUMALIZA NAFASI YA TATU 2017, MSTARI WA KUSHUKA DARAJA SASA NA ANGUKO LA MISIMU SITA NYUMA
KAGERA SUGAR FOOTBALL CLUB kuanzia msimu wa mwaka 2018/19 hadi sasa wanashuka, hapa nitakupa Tathmini yao ya MISIMU SITA kuanzia alama zao kisha idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa pamoja...
Jipatie shuka za kudarizi pamoja na foronya mbili kwa bei ya elfu Thelathini (30,000/=) Tu.
Size ni 6×6.
Delivery ni Bure kwa wakazi wa dar.
Usikubali kupitwa na ofa hii ya January , hivyo nitafute kupitia
0628 160058 / 0658 843438.
Karibuni sanaa.
Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Kwanini walikuwa wanahama siku za mwanzo?
Kwanini hawakukomaa walipokuwa tangia awali?
Kwani Isiraeli ilikuwa na uwezo wa kuuwa 5,000 siku ya kwanza au siku yoyote?
Mbona woga wao ndiyo umewafikisha huku kwenye 40,000 + na bado?
Haya si ni yale yale ya makwetu?
Sioni kama kuna mabadiliko yanaweza fanyika mda mfupi baada ya kupigiwa kelele mda mrefu.
Hakuta kuwa na nguvu ya watu kujituma sana kwa mda huu uliobaki ambao 2025 ni uchaguzi.
Hakuna mwenye uwakika kwa mda huu lazima utendaji upungue mfano unaweza kuwa kitengo fulani kesho ukawa benchi...
1. Russia na China zilikuwa na uwezo wa kuzuia azimio UNSC dhidi ya Yemen kupitishwa.
2. Siku Moja baadaye kimenuka huko; bila shaka Pana vita kamili sasa.
3. Ikumbukwe kwenye azimio hilo China, Russia, Mozambique na Aljeria wali susa na hivyo kupita kwa 11 za "ndiyo."
4. Kwamba Russia...
Shalom,
Kumezuka watumishi wa Mungu wanaotumia vibaya redio zetu badala ya kutoa neno la Mungu na kufanya maombi sasa kama utaahitaji maombi wanakulazimisha njoo ofisini aka kanssan asubuhi mapema tukuombee.
Style wanayotumia ni hii
Wanapokamata redio wanaanza andika msg, kwenda namba. Hizi...
SHUKA NAYO HII NI NZURI KWA KUJIFUNZA👇🏿👇🏿👇🏿
Maisha ni duara, maisha yana kila aina ya Raha na karaha Zake. Hivyo ukipata Bahati ya kuwa umesoma sana na kuwa na kazi kubwa sana au na fedha nyingi kuna jambo moja muhimu sana hupaswi kulisahau. Jambo lenyewe ni kuwa na marafiki wa aina Zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.