shuka

Shuka (Sanskrit: शुक IAST: Śuka, also Shukadeva Śuka-deva) is a rishi (sage) in Hinduism. He is the son of the sage Vyasa and the main narrator of the scripture Bhagavata Purana. Most of the Bhagavata Purana consists of Shuka reciting the story to the king Parikshit in his final days. Shuka is depicted as a sannyasi, renouncing the world in pursuit of moksha (liberation), which most narratives assert that he achieved.

View More On Wikipedia.org
  1. Panda Shuka Na Anguko La Kagera Sugar Football Club

    KAGERA SUGAR KUMALIZA NAFASI YA TATU 2017, MSTARI WA KUSHUKA DARAJA SASA NA ANGUKO LA MISIMU SITA NYUMA KAGERA SUGAR FOOTBALL CLUB kuanzia msimu wa mwaka 2018/19 hadi sasa wanashuka, hapa nitakupa Tathmini yao ya MISIMU SITA kuanzia alama zao kisha idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa pamoja...
  2. OFA YA JANUARY : Nauza Shuka za kudarizi kwa bei ya elfu Thelathini ( 30,000/=) Tu.

    Jipatie shuka za kudarizi pamoja na foronya mbili kwa bei ya elfu Thelathini (30,000/=) Tu. Size ni 6×6. Delivery ni Bure kwa wakazi wa dar. Usikubali kupitwa na ofa hii ya January , hivyo nitafute kupitia 0628 160058 / 0658 843438. Karibuni sanaa.
  3. Nimeamka asubuhi nimekuta shuka zina matone ya damu!! mpaka saizi najitafuta nilipoumia sipaoni?

    Wakuu kama niliposema! Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu. Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote. Sijawai tokwa damu puani. Mkoa ni kigoma. Napata sana wasiwasi Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
  4. B

    Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

    Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka. Ndiyo hivyo tena. Majuto ni mjukuu.
  5. B

    Wapalestina wakumbuka shuka kukiwa kumekucha

    Kwanini walikuwa wanahama siku za mwanzo? Kwanini hawakukomaa walipokuwa tangia awali? Kwani Isiraeli ilikuwa na uwezo wa kuuwa 5,000 siku ya kwanza au siku yoyote? Mbona woga wao ndiyo umewafikisha huku kwenye 40,000 + na bado? Haya si ni yale yale ya makwetu?
  6. Kwa hiki kipindi kifupi kuelekea 2025 uchaguzi naona tengua tengua ni kama msemo kukumbuka shuka asubuhui

    Sioni kama kuna mabadiliko yanaweza fanyika mda mfupi baada ya kupigiwa kelele mda mrefu. Hakuta kuwa na nguvu ya watu kujituma sana kwa mda huu uliobaki ambao 2025 ni uchaguzi. Hakuna mwenye uwakika kwa mda huu lazima utendaji upungue mfano unaweza kuwa kitengo fulani kesho ukawa benchi...
  7. Tanzani kitu kilichowahi shuka bei ni flash drive tu

    Hivi kuna kitu kingine kimewahi kushuka bei zaidi ya flash drive?
  8. B

    Baada ya kukalia veto, Russia yakumbuka shuka kumekucha

    1. Russia na China zilikuwa na uwezo wa kuzuia azimio UNSC dhidi ya Yemen kupitishwa. 2. Siku Moja baadaye kimenuka huko; bila shaka Pana vita kamili sasa. 3. Ikumbukwe kwenye azimio hilo China, Russia, Mozambique na Aljeria wali susa na hivyo kupita kwa 11 za "ndiyo." 4. Kwamba Russia...
  9. Tuwe makini na manabii/mitume wanaotaka fedha wakuombee

    Shalom, Kumezuka watumishi wa Mungu wanaotumia vibaya redio zetu badala ya kutoa neno la Mungu na kufanya maombi sasa kama utaahitaji maombi wanakulazimisha njoo ofisini aka kanssan asubuhi mapema tukuombee. Style wanayotumia ni hii Wanapokamata redio wanaanza andika msg, kwenda namba. Hizi...
  10. K

    Nimekosa kabisa shuka za mtumba nyeupe

    Locationa: Dar es Salaam, Makuburi. Size ya kitanda: 5*6
  11. Ni muhimu kuwa na marafiki wa aina zote

    SHUKA NAYO HII NI NZURI KWA KUJIFUNZA👇🏿👇🏿👇🏿 Maisha ni duara, maisha yana kila aina ya Raha na karaha Zake. Hivyo ukipata Bahati ya kuwa umesoma sana na kuwa na kazi kubwa sana au na fedha nyingi kuna jambo moja muhimu sana hupaswi kulisahau. Jambo lenyewe ni kuwa na marafiki wa aina Zote...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…