Heshima sana wanajamvi,
Leo nimeamua kujigaragaza mavumbini na baadae kwenye matope,mchanga,maporini kwasababu Rais wangu kipenzi anapiga mzigo wa viwango vya juu sana.
Nampongeza Rais wangu hali ya usalama wa Raia imeimarika sana,mambo ya kutekana kubambikiana kesi na ujinga ujinga umekwisha...
Tanzania na Afrika kwa ujumla hatuna tabia yakukiri kushindwa au kukosa uungwaji mkono. Tumejaaliwa kiburi kinachoambatana na kujipendekeza.
Mawaziri kama Januari Malamba na Nape Nauye wameaminiwa sana kwenye wizara mbalimbali. Wakati wakiwa kwenye uwaziri walimwita Mhe. Rais Mama na siyo Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.