shukuru kawambwa

Shukuru Jumanne Kawambwa is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Bagamoyo constituency from 2005 to 2020. He is the former Minister of Education and Vocational Training. He has also served as the Minister of Infrastructure Development

View More On Wikipedia.org
  1. Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

    Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya Jakaya Kikwete kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo. Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye changamoto ya viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge...
  2. Namchukia Dr. Shukuru Kawambwa

    Salaam Wanajamvi Mimi ni mwanafunzi wa Thaqaafa Mwanza, kiukweli waziri wa elimu namchukia Sana pamoja na baraza la elimu hiii. Ni kwa sababu ya kuharibu mfumo mzima wa elimu na kutuletea BRN Viongozi wengi unakuta wakijinadi katika majukwaa Kwamba Serikali imejenga shule maabara za kutosha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…