Wananchi wa kitongoji cha Kwaduria wilayani Chemba, mkoani Dodoma wamelazimika kuanzisha ujenzi wa shule ya msingi kunusuru watoto wao ambao wanatembea umbali wa km 8 kwenda shule ya msingi Songolo
Chama cha Mapinduzi (CCM)mkoa wa Kilimanjaro, kimejibu mashambulizi yaliyoelekezwa kwa chama hicho na serikali kutoka kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Mwenyekiti Freeman Mbowe na mwenyekiti wa Kanda, Godbles Lema.
Vigogo hao wa chama cha upinzani walifanya mikutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.