Kwa wanandoa hii inahusu sana wanawake
familia nyingi ziko mbioni kuharibika kwa sababu mke na mme wote ni viburi hakuna mtu wakushusha sauti
jamani wanawake ebu jitambueni kuwa ninyi ni nani ninyi ni wanawake tu na hamuna ruksa ya kumfokea mwanaume na kumnyoshea kidole
hii inasababisha...