MBUNGE DAVID MATHAYO ATOA MILIONI MBILI UKARABATI WA SHULE YA MSINGI KITAMRI
Shule ya Msingi Kitamri iliyopo katika Kata ya Stesheni, wilayani Same mkoani Kilimanjaro inakabiliwa na Uchakavu wa majengo pamoja upungufu wa vyumba vya madarasa hali inayowafanya Wanafunzi kusoma kwa zamu.
Kwa sasa...