Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika adhima yake ya kuleta maendeleo kwa wanachi imekua ikifanya maboresho katika sekta ya elimu msingi , sekondari, vyuo vya ufundi na elimu ya juu (Vyuo vikuu) ikiwemo kuwapa fursa watanzania wote kuweza kupata elimu ya msingi na sekondari bila...