shule za kayumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shule za kata zimekuwa "bora liende". Halafu mwanaharakati wa Kayumba ananiambia ninapoteza pesa kusomesha mtoto "saint so and so"

    Unajua ukishajua maana halisi ya elimu hauwezi kuja humu una babwaja babwaja. Sasa ndio elimu gani hio eti ufaulu wa a teengaer utegemee akili special na extra ordinary. Ndio maana unakuta division 2 moja then 3 tano 4 zinakuwa 250 0 zero zinakuwa 80. Some people need to be pushed to be...
  2. Matokeo darasa la saba 2024, kuna kila dalili hujuma zinafanyika dhidi Shule za Kayumba

    Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa wasiwasi hujuma inafanyika kuzipa promo private schools. Kwa kweli Matoleo ya ovyo mno tena ovyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia kubwa ya shule hizi wana wastani wa C, huku privtae...
  3. "Kayumba hazifai kwa sababu zina watoto wengi" ni hoja dhaifu inayothibitisha uelewa mdogo wa Watanzania kuhusu saikolojia ya watoto

    Utamsikia mtanzania anaziponda shule za Kayumba akisema " Shule za Kayumba hazifai kwa sababu kuna watoto wengi sana" Nabaki najiuliza hivi huyu mzazi ana fahamu chochote kuhusu saikolojia ya watoto? Anafahamu kuhusu umuhimu wa stage ya kimaisha ya mtoto iitwayo" Childhood"?. Anyway...
  4. Ya Mohamed Mwameja na ubora wa Shule za Kayumba katika kuwaandaa watoto na maisha halisi

    Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania. Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni. Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi...
  5. Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

    Elimu bora ina fanya mambo matatu: 1. It will help you to acquire power. 2. It will help you to maintain power 3. It will help you to protect power. Kwa bahati mbaya sana mfumo wa elimu yetu ya Tanzania hau guarantee hayo mambo matatu. As a matter of fact juu ya sayari ya dunia kuna kikundi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…