shule za seminari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Paspii0

    Kanisa Katoliki na Ujenzi wa Uongozi wa Kitaifa kupitia Elimu ya Seminari

    Katika kila jamii inayokusudia maendeleo endelevu, uongozi wa kweli ni nguzo muhimu. Kanisa Katoliki, kupitia shule zake za seminari, limekuwa mstari wa mbele katika kuandaa vijana kuwa viongozi bora wa taifa. Seminari sio tu ni shule za kiroho, bali pia ni vyuo vinavyolea viongozi wa kitaifa...
  2. M

    Tukumbushane vituko vya Seminari. Wale ambao hamkupita seminary tuvumilieni kidogo

    Ukweli, Kwanza kuna itikadi yetu ambayo hua ni umoja popote ulipo. Yaani kwanza kama sio rozari shingoni na kujiamini bado hujakamilika hata uwe uliishia form four haukuendelea na miaka ya uchungaji wala masomo ya falsafa. Kuna mambo mengi ya malector, wapishi, waseminary watukutu, misa za...
  3. thanks again and have you

    Umuhimu wa kusoma shule za Seminari

    Habari ya asubuhi! Ndugu zangu Mimi ni mmoja wa Kijana niliyepitia shule za seminary. Hizi shule japo zina weaknesses zake lakini ni nzuri kumuandaa mtoto hasa katika Makuzi ya kiroho ! Kuna Mambo mengi ambayo Mimi siwezi kuyafanya kutokana na "hofu ya Mungu" niliyojengeweza kipindi Cha Makuzi...
Back
Top Bottom