Kwa miaka 3 sasa shule za wazazi-CCM zimekuwa zikifanya mitihani ya kitaifa. Zoezi hili limekuwa na ufanisi na limezirudisha shule za CCM kwenye ufaulu mzuri.
Hata hivyo kuondoka kwa Katibu Mkuu, Gilbert Kalima kumekuwa pigo kubwa sana kwa shule za wazazi na CCM. kwa sasa shule zimebakia...