shuruti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    LGE2024 Mbeya: Jeshi la Polisi lawataka Wananchi, Wagombea kutii Sheria bila shuruti ili kuepuka kuchukuliwa hatua za kisheria

    Kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, Jeshi la Polisi linawataka wananchi, wagombea na wafuasi wa vyama vya siasa kutii sheria bila shuruti ili kuepuka kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kukamatwa na kufikishwa mahakamani. Aidha, Jeshi la Polisi Mkoa...
  2. USSR

    Baada ya mfumo wa ulinzi wa THAAD kufungwa Israel ni bora raia wa iran kuhama nchi yao bila shuruti

    Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran. Jana Rais Joe Biden...
  3. Tlaatlaah

    Angetii wito wa polisi bila shuruti kijana huyu wa CHADEMA asingelala korokoroni

    Mambo mengine bana, yanahitaji ungwana, hekima na busara tu kufikia muafaka na maisha mengine yanaendelea.. Angeitikia wito wa polisi kiungwana tu bila ubishi, na angetoa maelezo mahususi kama yangalikuepo bila kiburi wala ujuaji, haya mambo si huenda yangelikua yamekwesha mapema sana ndrugu...
  4. Msanii

    Utii wa sheria bila shuruti UMENAJISIWA na Polisi Tanzania? Wananchi tushtuke sasa kwani hatupo salama

    Nisiwachoshe sana. Matukio ya watu kupotea ndani mikono ya polisi. Matukio ya watuhumiwa kuteswa na kutwezwa wakihojiwa na polisi Matukio ya mauaji ndani ya vituo vya polisi ni mengi Matukio ya watu kutekwa na vyombo vya dola kisha kutoweka ni mengi Matukio ya kutishia wakosoaji na kuwabambika...
  5. Pang Fung Mi

    Ushuhuda; Kutokana na wimbi kubwa la Pisi Kali nimejikuta naukata mzizi wa Ubahiri bila Shuruti

    Shalom, Acha ukweli usemwe na pia acha ushuhuda uwekwe bayana. Binafsi kwa muda mrefu sana nimekuwa bahili hatari na nusu, ila uoto asili uliopo maeneo mbalimbali ya Tanzania umepindua meza ya ubahili. Pasipo shuruti nimejikuta napata upako wa kutoa pesa maana si kwa utitiri wa pisi kali za...
  6. B

    Israel anavyolazimisha tulishwe matango pori

    Hii dunia ni ngumu sana. Kwamba IDF inataka tuonyeshwe wanachotaka wao? Hii sasa si ndiyo ile ya mambo zetu na VPN na wale waheshimiwa wa pande za kwetu? Au zile mambo zetu na jamiiforums.co.tz badala ya jamiiforums.com? Kwamba IDF kaona mahandaki ya HAMAS hospitalini, ila tuonyeshwe tu vile...
  7. B

    Hongera Lema, ukweli hata kama mchungu shuruti usemwe

    Huu ndiyo ulio ukweli mchungu: Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa. Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.
  8. 4

    Nape ondoka Wizarani bila shuruti, kwa sasa hupendwi na Wananchi na Mungu pia

    Sitoandika mengi hapa kwako Nape, Yani vifurushi leo unakuja na lugha laini ila ikipita miezi kadhaa wazunguka huko huko huenda kutekeleza malengo yako, maana mmeishajua mwenye nchi wasahaulifu, watapiga kelele, ila nyie mwala mema ya nchi, hivi mwafikili hizi pesa za dhuluma mtazikwa nazo...
  9. UMUGHAKA

    Mpe hela yake! Naongea na wewe mwenye mbwembwe wakati wa kukopa lakini kulipa deni ni shuruti

    Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane. Naongea na wewe ambaye kila siku ni kukopa kwa matatizo yako halafu kulipa mpaka yafanyike matanga! Mbwembwe kibao wakati wa kukopa lakini kulipa deni ni shuruti! Mara ooh "niazime elfu 30 hapo niweke mafuta kwenye gari nitakurudishia ndugu yangu"...
Back
Top Bottom