Ndugu zangu Watanzania,
Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Kigamboni na Waziri mtarajiwa ameunguruma huko Arusha kama Simba Mbugani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka...