siasa ya ujamaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Vijana wa sasa (Bavicha) hawajui kuwa Upinzani nchini ulipatikana kwa Huruma tu ya Nyerere (CCM). Ujamaa ulikuwa kama Dini!

    Ndio Sababu Vyama Vyote vya Upinzani viliasisiwa na Wastaafu wa Serikali kasoro ACT wazalendo tu ya bwana mdogo Zitto Kabwe. Natoa tu tahadhari kwa vijana wajifunze kwanza historia ya Nchi hii kwa sababu Tanganyika na Kenya hazifanani kabisa. Siasa ya Ujamaa ilikuwa kama Dini na imetulemaza...
Back
Top Bottom