siasa za marekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Tunaomkubali Donald Trump tukutane hapa

    Trump baba unajua, unajua sana. Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme! Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱 Uzi tayari!
  2. Mindyou

    VIdeo: Wabunge wa Marekani waandamana hadi mbele ya jengo la USAID wakitaka misaada irudishwe haraka, wataka Elon adhibitiwe!

    Wakuu, Huko nchini Marekani, viongozi na baadhi ya wabunge wameandamana nje ya jengo la USAID wakitaka shirika hilo lirudishwe na misaada irudi haraka sana. Jamii Raskin ambaye ni mbunge kutoka jimbo la Maryland aliongozana na wabunge wengine wakitaka shirika hilo LIRUDISHWE na Elon Musk...
  3. S

    Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

    Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika...
  4. S

    Kitu gani kinakuvutia kwenye siasa za Marekani ambacho unatamani wanasiasa wa Tanzania wakiige?

    Kwa mtizamo wako, je unaona mfanano wowote kati ya hivyo vyama? Kwa mfano - kwa upande wa USA, Democratics wengi wanaishi mjini na wengi ni graduates wa vyuo. Lakini pia demo wengi ni wahamiaji na kwa upande mwingine Replicans ni wazungu, na wengi ni wa vijijini na wengi hawana degree. Haya...
  5. Mindyou

    Kwa upepo unavyoenda, kuna dalili zote Donald Trump kuswekwa jela kama hatoshinda uchaguzi

    Habari zenu wanabodi, Kwa namna siasa za marekani zinaendelea ni dhahiri shahiri kuwa Trump ana mengi sana ya kupoteza iwapo atashindwa kuingia pale White House mwaka kesho. Siku ya Ijumaa, Jaji kutoka jimbo la New York alitangaza kuahirisha kutoa hukumu kwa Donald Trump. Jaji Merchant...
  6. ChoiceVariable

    Michigan: Donald Trump ameshikwa na Kiwewe Kufuata Mafuriko ya Watu Waliofika Kumlaki Harris, Adai ni picha za AI

    Aisee bwana Trump ametoa Kali ya mwaka na Mpya kufuatia kudai kwamba picha zilizosambazwa na kampeni ya Harris ikionesha maelfu ya watu waliofika uwanja wa ndege Kumlaki na kumpokea eti ni za Uongo na zimetengenezwa na AI. Bwana Trump ambae ni Babu anaewania kuchaguliwa Rais amepigwa na Kiwewe...
Back
Top Bottom