Mimi napenda tu kuwashauri hawa mafundi wenzangu waliopo SIDO na karakana nyingi katika nchi yetu!
Kama kuna mamlaka za kuwasaidia kuwaelemisha basi waelimishwe katika eneo la biashara!
Bei zao nyingi katika uhunzi wa vipuri siyo rafiki kabisa kwa mtanzania ukilinganisha na bidhaa ileile...
Hivi Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya pamoja na Watu wako wa Mipango Miji wakati mlipokuwa mnawahamishia Wafanyabiashara katika Soko la Sido hivi mlifikiria suala la afya zao?
Mlikuwa mnajua kabisa kwamba lile ni eneo la viwanda ilikuwaje mkawahamishia Wafanyabiashara pale?
Kipindi hiki mtu ukienda...
Kifaa kinajieleza. Funguo zinabak maskan!
Huduma inabak ya mmoja tu!.
Unatafta hela kwa aman ya nafs, mwili na roho.
Unapata watoto wa nyonga yako tu.
Unafanya style zote bila hofu ya maambukiz.
Unatunza kwa roho nyeupe, mana ni chako tu.
CHANGAMOTO:
1. wenye master key
2. Muundaji kuacha...
Wakuu, ninakaribia kutimiza mwaka tangu nihamie sehemu hii ninayoishi sasa. Lakini hali niliyokutana nayo hapa inaniumiza sana, hasa kutokana na biashara ninayotaka kuanzisha. Biashara hii inahitaji niandae bidhaa, lakini sina ofisi na kwa mkoa huu ninapoishi, gharama za kuwa na ofisi ni kubwa...
Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM
Inauzwa Tsh 700,000/
Phone: 0675336219
Mashine bado ipo wadau
Habari wapendwa.
Tukiwa tupo mbioni kumsaidia mh rais samia kwenye kuleta maendeleo kuna baadhi ya mambo ambayo huenda yanasababishwa na viongozi kwa kujua yaani makusudi au kwa kutojua.
Nianzie kwenye mambo yafuatayo kwenye jiji letu la mbeya ambayo kwa kweli yanakera sana .
#soko la sido ni...
1.
Training Assistant II - 2 Posts
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To conduct on-the-job training, classes, or training sessions to teach and demonstrate principles, techniques, procedures, or methods of designated subjects;
ii. To observe and evaluate students’ work to determine progress...
Position: Director Of Technology Development And Planning (Re-Advertised)
Duties and Responsibilities
(i)Planning, research, technical services, technology development and preparation of strategic plans and economic research papers on relevant issues for the SME sector in collaboration with...
Wakuu, watu wa sido na wajasiriamali salaaam.
Nina uhitaji na mafuta ya kupaka ndoo moja kwanza lita kumi hadi lita ishirini kwa ajili ya project.
Mambo yakikaa sawa nitaagiza hadi mapipa kwa mapipa..
Mafuta ninayohitaji ni cosmetic grade. Yale mtu anaweza changanya na viinilishe au dawa...
Mapinduzi ya viwanda yalileta mwamko mkubwa sana katika mataifa ya magharibi katika uzalishaji mali na kuudondosha mfumo wa “utumwa” baada ya kutengeneza zana bora za kiutendaji ambazo zilianza kufanya kazi zilizokuwa zikifanywa na watumwa pamoja na wanyama na zikaja kuwapiku kwa kuongeza...
NAIBU WAZIRI VIWANDA - SIDO LWOSAA KUKARABATIWA KWA SHILINGI MILIONI 293.99
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amesema kuwa zaidi ya Shilingi Milioni 293.99 zinahitajika kwa ajili ya kukarabati na kukamilisha jengo la viwanda vidogo vidogo la Lwosaa.
Mhe...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mhandisi Musa Ally Nyamsingwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO).
Mhandisi Nyamsingwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Barabara Kuu na Usafirishaji, Kampuni ya NORPLAN Tanzania Limited...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.