sifa manabii wa uongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. matunduizi

    Vitu vya kukusaidia kuwatambua Manabii na watumishi feki na kuwakimbia

    Jamii Ina stress kubwa za kiuchumi, kimalezi, kimahusiano na za hisia za kurogwa. Wafanyamazingaombwe, waganga na matapeli jasiri wameiona hii fursa na kujitengenezea vilinge vya kujitajirisha kupita watu waliopoteza matumaini. Hivi ni vitu vichache vya kuzingatia kabla hujaamua kuwa mteja wa...
  2. Yesu Anakuja

    Sifa za Manabii wa uongo

    1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu. 2. Wanaamini Yesu sio Mungu. 3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu yao ina nguvu, kumbe Nguvu zetu zinapaswa zitokane na Roho. 4. Injili zao muda mwingi ni za miujiza...
Back
Top Bottom