Kichwa cha uzi kinajieleza..
UTANGULIZI
Ni kama wiki 2 mbili hivi, nili post thread ya kuhitilafiana na landlord wangu mahali ilipo ofisi yangu hapa town kati.
Sasa kwakua nilikua na mambo mengi sana yananivuruga, biashara inasua sua, na mambo mengine ya kikazi, nikaamua kujipa Reatreat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.