Tujiunge na CCA to celebrate Africa Day this Saturday 25th 
Dear CCA Members and Partners,
Corporate Council on Africa is delighted to remind you of the upcoming celebration of Africa Day on May 25, 2024. This significant day marks the anniversary of the founding of the Organization of...
Tanzania imeungana na Afrika Kusini kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2023 manispaa ya Mogala nchini Afrika Kusini kusherehekea miaka 60 ya Umoja wa Afrika tangu kuanzishwa kwake Mei 25, 1963 Addis Ababa Ethiopia.
Mhe.Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) akipokea tuzo aliyozawadiwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na Pan African Women Organization (PAWO) kwa kutambua mchango wake katika Uongozi na maendeleo ya jamii tangu aingie madarakani mwezi March 2021.
Waziri wa...
Siku hii huadhimishwa kila Mei 25 ikiwa ni kumbukumbu ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Umoja wa Afrika (OAU) Mei 25, 1963 ambayo baadaye ilibadilishwa kuwa Umoja wa Afrika (AU)
Maadhimisho yanabeba Kaulimbiu "Kuimarisha Ustahimilivu katika Lishe na Usalama wa Chakula Barani Afrika". Umoja wa Afrika...
Mjumbe wa taifa wa China ambaye pia ni waziri wa mambo ya nje Bw. Wang Yi amehudhuria sherehe ya Siku ya Afrika iliyofanyika hapa Beijing.
Kwa niaba ya serikali ya China, Bw. Wang ametoa pongezi kwa mabalozi wa nchi za Afrika nchini China, mataifa ya Afrika na watu wao. Bw. Wang amesema, Siku...
Serikali za Afrika huadhimishwa Siku ya Afrika kila Mei 25. Kaulimbiu ya Mwaka 2021 ni Sanaa, Utamaduni na Urithi: Njia za Kuijenga Afrika Tunayoitaka.
Siku hii ni kumbukumbu ya kila mwaka ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Umoja wa Afrika (OAU) Mei 5, 1963 ambayo baadaye ilibadilishwa kuwa Umoja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.