Leo ikiwa ni siku ya Baba duniani, naomba tutafakari swali hili na kujijibu. Kwanza natoa angalizo kuwa huwa napenda sana kuangazia sababu za kiroho katika kila jambo, hivyo usipende sana kusoma mada zangu kimwili maana itakuwia vigumu kidogo kuelewa. Utangulizi; Ukifanya uchunguzi kama...