siku ya familia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Leo ni siku ya familia na kufurahi na maskini

    Kwa sasa maisha ni magumu mno,vipato ni vidogo na matumizi ni makubwa sana.Kinachotakiwa ni kuacha tamaa na uvumilivu mkubwa sana,ama wewe na mkeo au wewe na mmeo,au kwa mabachela,bila hivyo kuangamia ni rahisi sana
  2. Ojuolegbha

    Nukuu za mwenyekiti wa UWT taifa katika siku ya familia duniani

    NUKUU ZA MWENYEKITI WA UWT TAIFA KATIKA SIKU YA FAMILIA DUNIANI
  3. Dkt. Gwajima D

    Siku ya Familia 15 Mei yaja

    Wasaalam Wana Jukwaa wote. Tunaelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia hapo Mei 15, 2024 ambapo, nchi yetu tutaungana na zingine duniani kuadhimisha. Familia ni chanzo cha jamii yetu hivyo, ni kiungo muhimu sana kwa maendeleo na ustawi wa jamii. Malezi bora kwa watoto ndani ya...
Back
Top Bottom