siku ya kiswahili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ojuolegbha

    Mapishi, burudani na mijadala vyanogesha siku ya Kiswahili Comoro

    MAPISHI, BURUDANI NA MIJADALA VYANOGESHA SIKU YA KISWAHILI COMORO Watanzania waishio nchini Comoro na wananchi wa Kisiwa cha Ngazija na wanadiplomasia wameshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwa burudani mbali mbali pamoja na mijadala. Takribani washiriki 500 wamejitokeza...
  2. Black Butterfly

    Julai 7, Siku ya Kiswahili Duniani

    Leo Julai 7, ni Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani ambayo ilipitishwa rasmi Novemba 2021, kupitia azimio namba 41 C/53 la Umoja wa Mataifa likiwa chini ya UNESCO. Siku hii ilikuwa rasmi kwa lengo la kutambua mchango wa Kiswahili katika kukukuza tamaduni mbalimbali, kujenga hamasa na...
  3. Ojuolegbha

    Maandalizi ya Siku ya Kiswahili Comoro yaiva

    Balozi wa Tanzania nchini Comoro, Saidi Yakubu amewahimiza wapenzi wa lugha ya Kiswahili nchini Comoro kujitokeza kwa wingi Siku ya Jumapili ili kukienzi Kiswahili katika Hafla Rasmi waliyoandaa kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Moroni. Balozi Yakubu aliwaeleza waandishi wa habari kuwa maandalizi...
  4. Mohamed Said

    Siku ya Kiswahili Duniani: Wamarekani na Kiswahili

    SIKU YA KISWAHILI DUNIANI: WAMAREKANI NA KISWAHILI Nimefika Marekani kwa mwaliko wa Chuo Kikuu Cha Iowa, Iowa City mwaka wa 2011 aliyenialika ni Prof. James Giblin Mkuu wa Idara ya Historia ya Afrika hapo chuoni. Visa ya Marekani ina tabu kidogo na nilipofika Consulate ya Marekani kuomba visa...
  5. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Maadhimisho ya kwanza ya siku ya Kiswahili Duniani 07/07/2022: Mustakabali wa Tanzania na Kiswahili ni upi?

    MAADHIMISHO YA KWANZA YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI 07/07/2022: MUSTAKABALI WA TANZANIA NA KISWAHILI NI UPI? (Muhtasari wa masuala muhimu niliyohojiwa katika kipindi cha Stimela cha TBC FM tarehe 07/07/2022 saa 10:00 -11:00 jioni) 1.0 UTANGULIZI Tarehe 23/11/2021 ndio siku ambayo Shirikika la...
  6. Lycaon pictus

    Leo Julai 7 ni maadhimisho ya siku ya Kiswahili duniani

    Kiswahili kimekuwa na kinatambulika kimataifa. Kuadhimisha siku hii tunatoa ofa ya vitabu viwili vilivyofasiriwa kwa kiswahili. Tuone whatsapp(0715278384). Sema umetoka JF.
  7. beth

    Julai 7: Siku ya Kiswahili Duniani (Kiswahili Language Day)

    Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu , sayansi na utamaduni UNESCO tarehe 23 mwezi Novemba mwaka 2021 lilitangaza rasmi tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa siku ya Kiswahili duniani. Maudhui ya maadhimisho ya mwaka huu ni Kiswahili kwa amani na ustawi. Lengo hasa la maadhimisho haya ya mwaka ni...
Back
Top Bottom