Leo Julai 7, ni Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani ambayo ilipitishwa rasmi Novemba 2021, kupitia azimio namba 41 C/53 la Umoja wa Mataifa likiwa chini ya UNESCO.
Siku hii ilikuwa rasmi kwa lengo la kutambua mchango wa Kiswahili katika kukukuza tamaduni mbalimbali, kujenga hamasa na...