Mada kuu ya siku hii tukufu ya leo, ni jinsi gani, tutawalinda wale wanaofichua ufisadi Afrika.
Tanzania kimya kabisa au haiitambui siku hii. 😈😈😈
Siku ya Kupambana na Rushwa Afrika huadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Julai. Hii ni siku iliyotengwa na Umoja wa Afrika (AU) kwa ajili ya kuongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.