Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma leo tarehe 01 Februari, 2023
PROF. EDWARD HOSEAH, RAIS WA TLS
Mh. Rais, dhana ya Suluhu kutatua migogoro na kukuza uchumi imekuja...