Leo ni siku ya vijana duniani, ni vyema isipite hivi hivi bila kutia neno kwa vijana
Sore tunajua moja ya kundi lenye ushawishi na nguvu, ni vijana
Moja ya kundi ambalo hutajwa kama taifa la kesho ni vijana.
Japo vijana sio taifa la kesho tena, bali taifa la sasa.
Moja ya kundi ambalo...
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limewakamata watu wote waliokuwa ofisi za CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu. John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda Joseph Mbilinyi (SUGU) pamoja na viongozi wa BAVICHA.
Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga...
Kauli ya msajili ya vyama vya siasa na Jeshi la polisi kuhusu BAVICHA ina kila dalili kwamba watu hawa wamekaa kikao cha pamoja na kutoka na maazimio.
Kwa mtizamo wangu inaleta picha kwamba UVCCM wameshindwa kuandaa wanasiasa. Tumeona Zanzibar kwamba ilibidi Rais awepo ndipo agenda zao ziweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.