Kwa heshima, nachukua fursa hii kuwatakia wazee wetu wapendwa wa Tanzania kila la heri kuelekea kesho tarehe 1 Oktoba, 2024 ambayo ni siku mahsusi ya maadhimisho ya siku ya wazee duniani.
Wapendwa wazee wetu, sote tunaikumbuka historia ya Disemba 14 mwaka 1990, ambapo, Mkutano Mkuu wa Umoja wa...