silvester masinde

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

    Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia. Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia. Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema. Apumzike kwa Amani .
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…