simba day 2024

  1. THE FIRST BORN

    Simba hii bado haina muunganiko, kataeni mnavyokataa ila ndio ukweli

    Naelewa Mashabiki wa Bongo issue kwao huwa ni matokeo tu wakipata magoli au ushindi ila Team inacheza hovyo wao ni kwishaa. Na hapa sipo kuwaambia kuwa tarehe 8 mtafungwa. Pitia saiv Youtube pale kuna Interview zinatembea mashabiki wanatoa hadi machozi wanasema hii simba waliyosajiliwa ya...
  2. L

    Tathmini yangu Simba Day vs APR

    1.Kuwa na makipa 2 wa kigeni ni matumizi mabaya ya fedha, Ayoub Lakred apewe Thank You 2.Kevin Kijiri ameimudu sana nafasi ya kulia, Kapombe awe mvumilivu 3.Chamou Karaboue ni beki mzuri lakini mzito kama Mohamed Quattara 4.Fabrice Ngoma apewe Thank You, wachezaji wa viungo mafundi tunao wa...
  3. Mycojkhan

    Mashabiki wa Simba SC Ubaya ubwela unaufanya ukiwa wap?

    Wanasimba hongereni kwa Tamasha zuri mmeujaza uwanja wa Mkapa yani ni full House najua Mnafuraha sanaa Kwa kuiona Timu yenu ikipata matokeo kwenye siku ya “simba dei”. Ubaya ubwela unaufanya ukiwa wapi? Soma pia: FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024
  4. L

    Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

    Ndugu zangu Watanzania, Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa...
  5. Erythrocyte

    Hatutarajii Kuona Mabango ya Wanasiasa kwenye Simba/Yanga Day, TFF na Polisi liangaloeni hili kwa Umakini

    Kwenye Michezo, ikiwemo soka ndiyo sehemu pekee wanapokutana watu wa Itikadi Tofauti, wanaweza kuwa Chama kimoja cha Siasa lakini wakakutana uwanjani wakiwa Timu tofauti, Na waweza kuwa Mahasimu kisiasa lakini wakawa wanashabikia timu moja. Hii ni kwa sababu Michezo haihusiani na Siasa wala...
  6. Suley2019

    FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

    Leo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025 Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda. Kaa nami katika uzi huu upate update ya...
Back
Top Bottom