Nina mtoto kamaliza darasa la saba mwaka huu,anatamani sana kuhudhuria na kushuhudia simba day,
Nina uwezo wa kulipua tiketi za 30000 .
Lakini high yangu ni sijui kama utaratibu wa nafasi za kukaa ukoje?
Je tiketi zina namba kama za kwenye sinema?
Je hakutakua na vurugu,usumbufu?
Je tunaweza...