simba dhidi ya al ahly

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Benchikha kuwafunga Al Ahly Super Cup kisichukuliwe kama kigezo cha Simba sc kuifunga Al ahly kwa kuwa Benchikha yupo Simba sc

    Nimeshangazwa na mashabiki wa Simba sc wakiongozwa na Msemaji wao Ahmedy Ally (kisipika) akijinadi kuwa Al ahly atafungwa kwa kuwa Wanakocha mzuri aliyewahi kuchukua Super cup mbele ya Al ahly. Je mmesahau kuwa Kocha Robertinho aliifunga Yanga Sc akiwa na Vipers sc na timu ya Simba sc...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…