Nilitegemea Simba watapata ushindi tena mnono kulingana na status za timu zote mbili ni kama mbingu na ardhi,
Leo Simba wamenikera sana, mbaya zaidi wamenichania mkeka, nimekwazika mno.
Hata dabi ya October 19 nina wasiwasi inaweza kuahirishwa tofauti na hapo Simba inaweza kuchapwa kwa mara...