simba sc vs cs constantine

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Ahmed Ally azidi kuwakera Yanga abandika gari lake mabango la msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga michuano ya CAF

    Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera. Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa...
  2. Waufukweni

    Vaibu la mashabiki wa Simba Mwembeyanga, Ahmed Ally achizika wakimkanda Mwarabu

    Vaibu la mashabiki wa Simba Mwembeyanga, Ahmed Ally achizika wakimkanda CS Constantine bao 2-0 na kuongoza kundi A kwa kufikisha alama 13. Soma, Pia: FT: CAFCC: Simba SC 2-0 CS Constantine | Estadio Benjamin Mkapa | 19.01.2025
Back
Top Bottom