simba vs coastal union

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Niliyoyaona Simba vs Coastal, leo Machi 1, 2025

    1. Ally Salim kajitahidi leo pamoja na kukaa mbao ndefu muda mrefu bravo kwake beki zetu za kati marking mbovu back passes aaah kwa timu inayoshambulia kwa kasi kama yanga kazi itakuwepo 2. Mavambo kajitahidi sikuona sababu ya sub ya ngoma backbass zikawa nyingi kama alitaka kufanya mabadiliko...
  2. FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

    Coastal Union VS Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | March 1, 2025 Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024 Updates.... Mpira umeanza Dakika, 19 milango yote ni mingumu si Coastal wala Simba Dakika, 21 mashambulizi...
  3. L

    Mambo 12 niliyoyaona leo Simba Vs Coastal Union

    1. Kocha Fahdu na Jean Charles Ahoua ndio walioiua Simba leo, Ahoua yuko slow, mchoyo na hajui kupiga faulo, kila nikitoa maoni mnatukana leo mmeona 2. Jean Charles Ahoua kama ndio MVP ligi ya kwao basi Ditram Nchimbi ana uwezo wa kucheza soka Ivory Coast 3. Kama Simba ingecheza na timu nzuri...
  4. FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

    Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam. Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi. --- Kikosi cha Simba kinachoanza...
  5. Azam Sports Federation cup: Simba Vs Coastal Union | Benjamin Mkapa Stadium

    Mechi tayari imeanza na saizi ni dakika ya 20 Matokeo Bado ni 0-0 OKW BOBAN SUNZU nilijua Ile post Yako kuhusu hamu ya kuiona Simba inacheza itakufanya uanzishe Uzi wa update
  6. Simba Sc 0-0 Coastal Union | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

    Coastal Union haijawahi kupata ushindi mbele ya Simba kwenye ligi kuu kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita tangu msimu wa 2018/19. Katika mechi sita walizokutana, Simba imeshinda mechi tano na kutoka suluhu mechi tatu, Jumla Ya Magoli 21 Wagosi wa Kaya Wafungwa na simba katika Michezo hii 6...
  7. Simba SC Vs Coastal Union (2-0)| Simba yatwaa Ubingwa msimu wa 2020/21

    Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL, Kuendelea kupigwa leo July 11, 2021 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC, wanawakabili Wagosi wa Kaya, Coastal Union, kunako Dimba la Mkapa Jiji Dar es salaam. Mchezo ni mgumu kwa pande zote mbili, kwani Simba SC inasaka alama tatu au...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…