Mnyama Simba SC baada ya kupata ushindi mechi iliyopita ugenini mkoani Kigoma, anarudi nyumbani ambapo kesho Jumatano atakuwa KMC Complex akiwakaribisha KMC FC
Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara.
Simba umeshindwa kesi ya Awesu. Hairuhusiwi team kuongea na mchezaji kabla miezi 6 kwenye mkataba wake lakini Simba walifanya hivo
Simba walimrubuni Awesu na kumtorosha Awesu. Simba walimpeleka Awesu Egypt pre season
Simba walimtambulisha Awesu Simba day. Awesu alivaa jezi ya Simba na...