simba vs namungo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kingphisher

    TFF waifuta kadi nyekundu kwenye mechi ya Namungo dhidi ya Simba, ila mwamuzi kaachwa kwanini?

    Hii soka inaelekea wapi? TFF imekiri wazi kuwa ile kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo haikuwa sahihi, lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi ya maamuzi mabovu ya mwamuzi. Hivi hii inaleta taswira gani? Mwamuzi alikuwa na makosa mengi, hasa kwa upande wa Namungo. Alikuwa makini...
  2. L

    Mambo 10 Niliyoyaona Simba ikiidadavua Namungo ya GSM

    1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu 2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times...
Back
Top Bottom