Hii soka inaelekea wapi? TFF imekiri wazi kuwa ile kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo haikuwa sahihi, lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi ya maamuzi mabovu ya mwamuzi. Hivi hii inaleta taswira gani?
Mwamuzi alikuwa na makosa mengi, hasa kwa upande wa Namungo. Alikuwa makini...
1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu
2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.