Kutoka Uvinza Kigoma, babu radi ameangalia dakika 90 za mchezo na mambo yakawa hivi.
Y= Yanga
A= Ameiua
S= Simba
Matokeo kamili ni
6-0
Prince Dube - 3
Aziz Ki - 1
Max Nzingeli 1
Baka - 1 (goli la kichwa)
Goli moja la Dube litaleta malalamiko.
Ushauri:
Magoli yanaweza kupunguzwa endapo kocha...