simon msuva

Simon Happygod Msuva known as Simon Msuva (born 2 October 1993) is a Tanzanian professional football player who plays as a forward for the Tanzania national team.

View More On Wikipedia.org
  1. Simon Msuva ashangilia kwa mtindo wa Baltasar Engonga baada ya kuifungia Taifa Stars

    Hii nayo ameona isimpite 😂🤗 Simon Msuva amefunga bao la kuiweka Tanzania mbele dhidi ya Ethiopia na anajiunga na mtindo wa kushangilia wa Baltasar Engonga, kigogo wa zamani wa mambo ya fedha wa Guinea ya Ikweta aliyekumbwa na kashfa ya ngono. Soma: Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa...
  2. Simon Msuva, Shomari Kapombe warejeshwa kikosini Taifa Stars kufuzu AFCON 2025

    Mshambuliaji Simon Msuva, Beki Shomari Kapombe na Mlinda mlango Aishi Manula wamerejeshwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa ajili ya michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025. Taifa Stars itacheza dhidi ya Ethiopia, Novemba 16 na dhidi ya Guinea, Novemba 19, Benjamin Mkapa. Kikosi cha Taifa Stars...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…