Simu Liu ( SEE-moo LEE-yoo; Chinese: 刘思慕; born 19 April 1989) is a Canadian actor. He is known for portraying Shang-Chi in the 2021 Marvel Cinematic Universe film Shang-Chi and the Legend of the Ten Rings. He also played Jung Kim in the CBC Television sitcom Kim's Convenience and a Ken in Barbie. He received nominations at the ACTRA Awards and Canadian Screen Awards for his work in Blood and Water.In 2022, Liu authored the memoir We Were Dreamers, and was named one of Time's 100 most influential people in the world, in the section "Artists."
Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia . Mbaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje…
Sisi kama SIMU KIDIGITALI tunauza sana hizi simu hazina shida yeyote , ila unahitaji kuzingatia mambo yafuatayo...
Naomba Kupata Experience Ninatakiwa Kuwa na Shilingi Ngapi Kuuanzisha Biashara ya Simu Used From another Country?
Faida Yake Ipoje?
Na Changamoto Zake?
Ahsante Sana!
Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Watu wengi wanapenda simu za kisasa zenye uwezo mkubwa kwa bei ya kawaida. Hali hii inapelekea wengi wao kuamua kununua simu zilizotumika (used) kutoka nje ya nchi, katika masoko maarufu kama Kariakoo au Makumbusho, na maeneo mengine.
Hivi karibuni, kupitia jukwaa hili, kumeibuka mjadala mkubwa...
Habari wapambanaji wa kutafuta ugali wa kila siku. Mpambanaji mwenzenu nimekuja kwenu mnijuze wapi naweza pata simu used za halali sio za wizi Kwa bei ya jumla nami nikafanya biashara.
Sijajua wafanya biashara wa Kariakoo wanazitoa wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote Kariakoo...
Habari za mchana wakuu, natumai hamjambo kabisa na mnaendelea katika harakati za kusaka mkate na kwa wale wanaugua Mungu awaponye kwa uwezo wake tuseme Amin !!
Kwanza kabisa mimi ni mtu ambaye karibia kila baada ya dakika 5 lazima nizame kwenye deep thinking kuhusu kitu chochote (positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.