Wazee kuna jamaa yetu huku mtaani kaokota simu na amekamatwa juzi. Mwenye simu kasema aliporwa million 250 kwenye begi lililokuwa na simu
Aisee sijui itakuaje hapo wakuu maana polisi wamemshikilia hawautaki hata awekewe dhamana.
Pia soma
- Kwa sasa, kuokota simu si bahati tena bali ni balaa