"Mama Africa" is the fourth single from Akon's second studio album, Konvicted. This song was originally on reggae singer Peter Tosh's 1983 album "Mama Africa." Later the song was remade by Hakim Abdulsamad, frontman of R&B 1980s band The Boys. The single was released to radio stations on May 15, 2007, before being officially released in the United Kingdom on July 30, 2007. The official remix of the track features 50 Cent. The lyrics are written as a homage to Akon's ancestral homeland, Africa. The song peaked at #47 on the UK Singles Chart, his second to do so, the first being "Pot of Gold". The track was B-listed upon its first airplay on BBC Radio 1. The single's artwork was designed by Chris Jarvis. A video for the song was filmed in October 2006, however, due to licensing issues, was not released. The video was later leaked to the internet in February 2009.
Key point ni MAJUKUMU mengine ni minor issues kwa nini wadau wanajiweka mbali na single mother.
Kitabu Cha Wasifu wa Malcolm X kinaelezea baada ya baba yake kufariki mama yake alikuwa na mahusiano na mwanaume mweusi kutokea Lansing lakini mahusiano hayakudumu mwamba akasepa sababu kuu ni...
Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me.
One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day.
Single...
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Kama mtoto ni wa Popoma muite Clara Popoma badala ya kumpa ubini usio wake.
Single mama baadhi yenu mnawapa ubini wa baba zenu kitu ambacho sio sawa. Hasira zako kwa aliyekupa mimba hazimhusu mtoto.
Yule ni baba yake wa damu hivyo ni haki ya mtoto kuitwa kwa...
Hamisa Mobeto amewapa heshima kubwa mno single mothers wote, jana amelipiwa mahari milioni 30 na ng'ombe 30. Hii ina maana watoto wake wa nje hawajawa sababu ya kushusha thamani yake, amewazidi wengi walioolewa wakiwa sio single mothers. Hii inatoa tafsiri kwamba thamani ya mwanamke bado inabaki...
Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.
Ajabu ni hii...
Kuna wanaokuwa vizuri lakini tuwaangalie wale walioharibika
Husika na kichwa cha habari,
Katika wale vijana kuanzia miaka 15 ambao kimaadili wameharibika, ni kwanini wengi wamelelewa na single mothers?
Hellow habari, nisiwachoshe direct niendee kwenye point . Nilikuwa na my girlfriend tukawa na mahusiano tumpatie jina prisca ambayo nilidumu nae almost 3 years kwenye relationship ukweli nilimpenda Ila alikuja nisaliti kwa mshikaji mmoja akampiga na mimba juu akanimwaga chini kwa madharau na...
Jana niliweka uzi wa kuomba ushauri hapa kuhusu mtu alienipenda halafu kanizidi umri, ndugu jamaa na marafiki wakasema yao humu kuna walioniita mjinga, walionitukana na wakanisema vibaya ndgu zangu kwanza naomba mtambue.
1. Mimi sijampenda huyo binti ila yeye ndo alinitafuta na kutaka mahusiano...
Ndiyo, nawakumbusha tu. Kila siku utasikia Anko Shamte piga YOPE! Anko Shamte! Ankali wa Taifa! Yaani hadi unatamani kabisa kuoa single mama. Hii si kwa bahati mbaya, kijana anamkubali baba’ke wa kambo. Na hii ndiyo furaha na tulizo la mama’ke.
Sasa kuna hawa wengine, kuna muda hata salamu tu...
1. Kwanza hakikisha unacheza sana na mwanaye yaani mwanaye akupende.
2. Usipende kutoka nae viwanja hawapendi maana huwa wanawawaza watoto wao especially kama ana mtoto mdogo.
3. Vi-date vyenu fanyieni "indoor" yaani aje kwako au uende kwake.
4. Hakikisha zawadi kwa sana, za mwanae na zake...